Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 78:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Kwa hiyo akazikomesha siku zao kama pumzi, Na miaka yao kwa hofu ya kuwastusha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Basi, akazikatisha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa maafa ya ghafla.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Basi, akazikatisha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa maafa ya ghafla.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Basi, akazikatisha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa maafa ya ghafla.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:33
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.


Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.


Mhubiri asema, Ubatili mtupu; mambo yote ni ubatili!


mizoga yenu itaanguka katika jangwa hili, na wote waliohesabiwa miongoni mwenu, kama jumla ya hesabu yenu, tangu waliopata umri wa miaka ishirini na zaidi, hao walioninung'unikia,


Kisha watoto wenu watakuwa wachungaji jangwani muda wa miaka arubaini nao watauchukua mzigo wa uasherati wenu, hadi maiti zenu zitakapoangamia jangwani.


Mimi BWANA nimekwisha nena, hakika yangu ndilo nitakaloutenda mkutano mwovu huu wote, waliokusanyika juu yangu; wataangamia katika nyika hii, nako ndiko watakakokufa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo