Zaburi 78:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 Kwa hiyo akazikomesha siku zao kama pumzi, Na miaka yao kwa hofu ya kuwastusha. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Basi, akazikatisha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa maafa ya ghafla. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Basi, akazikatisha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa maafa ya ghafla. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Basi, akazikatisha siku zao kama pumzi, miaka yao kwa maafa ya ghafla. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho. Tazama sura |