Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 Pamoja na hayo wakazidi kutenda dhambi, Wala hawakuyaamini matendo yake ya ajabu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wakayasahau matendo yake, Na mambo yake ya ajabu aliyowaonesha.


Kwa kuwa hawakumwamini Mungu, Wala hawakuutumainia wokovu wake.


Lakini nyumba ya Israeli waliniasi jangwani; hawakuenda katika amri zangu, wakazikataa hukumu zangu, ambazo mwanadamu ataishi kwazo, kama akizitenda; na sabato zangu walizitia unajisi sana; ndipo nikasema, Nitamwaga hasira yangu juu yao jangwani, ili niwaangamize.


Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishika hata mtu akifufuka katika wafu.


Lakini ingawa amefanya ishara nyingi namna hiyo mbele yao, hawakumwamini;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo