Zaburi 78:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Pamoja na hayo wakazidi kutenda dhambi, Wala hawakuyaamini matendo yake ya ajabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Hata hivyo waliendelea kumkosea Mungu; ijapokuwa alitenda maajabu, hawakuamini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini. Tazama sura |