Zaburi 78:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Hasira ya Mungu ikapanda juu yao, Akawaua waliokuwa wanono; Akawaangusha chini vijana wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akawaua wenye nguvu miongoni mwao, na kuwaangusha vijana wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akawaua wenye nguvu miongoni mwao, na kuwaangusha vijana wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akawaua wenye nguvu miongoni mwao, na kuwaangusha vijana wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli. Tazama sura |