Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 Hasira ya Mungu ikapanda juu yao, Akawaua waliokuwa wanono; Akawaangusha chini vijana wa Israeli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akawaua wenye nguvu miongoni mwao, na kuwaangusha vijana wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akawaua wenye nguvu miongoni mwao, na kuwaangusha vijana wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 hasira ya Mungu iliwaka juu yao; akawaua wenye nguvu miongoni mwao, na kuwaangusha vijana wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:31
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo Bwana, BWANA wa majeshi, atatuma maradhi ya kukondesha kwa wapiganaji walionenepa; na badala ya utukufu wake kutawashwa kuteketea kama kuteketea kwa moto.


Kisha hapo hiyo nyama ilipokuwa ikali kati ya meno yao, hawajaitafuna bado, hasira za BWANA ziliwaka juu ya watu, BWANA akawapiga watu kwa pigo kuu mno.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo