Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Lakini aliyaamuru mawingu juu; Akaifungua milango ya mbinguni;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Hata hivyo aliyaamuru mawingu ya juu, akaifungua milango ya mbingu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Hata hivyo aliyaamuru mawingu ya juu, akaifungua milango ya mbingu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Hata hivyo aliyaamuru mawingu ya juu, akaifungua milango ya mbingu;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Katika mwaka wa mia sita wa maisha ya Nuhu, mwezi wa pili, siku ya kumi na saba ya mwezi, siku ile chemchemi zote za vilindi vikuu zilibubujika kwa nguvu, madirisha ya mbinguni yakafunguka.


na yule kiongozi akamjibu mtu wa Mungu, akasema, Sasa tazama, kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, je! Jambo hili lingewezekana? Akasema, Angalia, wewe utaliona kwa macho yako, lakini hutakula.


Basi yule afisa, ambaye mfalme alikuwa akitegemea mkono wake, akamjibu yule mtu wa Mungu, akasema, Tazama, kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, je! Jambo hili lingewezekana? Akamwambia, Angalia, wewe utaliona kwa macho yako, lakini hutakula.


Maana Yeye alisema, na ikawa; Na Yeye aliamuru, ikaumbika.


nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo