Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 78:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Wakamjaribu Mungu mioyoni mwao Kwa kutaka chakula kwa tamaa zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Walimjaribu Mungu kwa makusudi; wakidai wapewe chakula walichotaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Walimjaribu Mungu kwa makusudi; wakidai wapewe chakula walichotaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Walimjaribu Mungu kwa makusudi; wakidai wapewe chakula walichotaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kwa makusudi walimjaribu Mungu, wakidai vyakula walivyovitamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kwa makusudi walimjaribu Mungu, wakidai vyakula walivyovitamani.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo waliponijaribu baba zenu, Wakanipima, wakayaona matendo yangu.


Kwa hiyo hao watu wakamgombeza Musa, wakasema, Tupe maji tunywe. Musa akawaambia, Kwa nini mnanigombeza? Mbona mnamjaribu BWANA?


Akapaita mahali pale jina lake Masa, na Meriba kwa sababu ya ugomvi wa wana wa Israeli, na kwa sababu walimjaribu BWANA, wakisema, Je! BWANA yu kati yetu au sivyo?


Kisha mkutano wa wafuasi waliokuwa kati yao, wakashikwa na tamaa; wana wa Israeli nao wakalia tena, wakasema, Ni nani atakayetupa nyama tule?


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Wala tusimjaribu Bwana, kama wengine wao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.


Msimjaribu BWANA, Mungu wenu, kama mlivyomjaribu huko Masa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo