Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 78:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Mbele ya baba zao alifanya mambo ya ajabu, Katika nchi ya Misri, konde la Soani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Alifanya maajabu mbele ya wazee wao, kondeni Soani, nchini Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Alifanya maajabu mbele ya wazee wao, kondeni Soani, nchini Misri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Alifanya maajabu mbele ya wazee wao, kondeni Soani, nchini Misri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, huko Soani, katika nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Alitenda miujiza machoni mwa baba zao, huko Soani, katika nchi ya Misri.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:12
15 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, Yakobo akapeleka wajumbe mbele yake kwenda kwa Esau nduguye mpaka nchi ya Seiri katika nyika ya Edomu.


Yalitukia hayo kwa sababu wana wa Israeli walikuwa wametenda dhambi juu ya BWANA, Mungu wao, aliyewaleta kutoka katika nchi ya Misri watoke chini ya mkono wa Farao mfalme wa Misri, wakawaacha miungu mingine.


nawe ukaonesha ishara nyingi na mambo ya maajabu juu ya Farao, watumishi wake wote, na watu wote wa nchi yake; kwa maana ulijua ya kuwa waliwatenda kwa kutakabari; ukajipatia jina linalodumu hata leo.


Matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu, Mambo ya kutisha penye Bahari ya Shamu.


Alituma ishara na maajabu kati yako, Ee Misri, Juu ya Farao na watumishi wake wote.


BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa kama Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruni atakuwa nabii wako.


Wakuu wa Soani wamekuwa wapumbavu kabisa; washauri wenye hekima wa Farao, ushauri wao umepumbazika; mwawezaje kumwambia Farao, Mimi ni mwana wa wenye hekima, ni mwana wa wafalme wa zamani?


Wakuu wa Soani wamekuwa wapumbavu, wakuu wa Nofu wamedanganyika; na hao walio mawe ya pembeni ya kabila zake wameipotosha Misri.


Nami nitaifanya Pathrosi kuwa ukiwa, nami nitatia moto katika Soani, nami nitatekeleza hukumu katika No.


Wakapanda katika Negebu, wakafika Hebroni; na Ahimani, na Sheshai, na Talmai, wana wa Anaki, walikuwako huko. Nao Hebroni ulijengwa miaka saba kabla ya Soani wa Misri.


Au Mungu amekwenda wakati gani akajitwalia taifa kutoka kati ya taifa lingine, kwa majaribu, ishara, maajabu, vita, mkono hodari, mkono ulionyoshwa, na vitisho vikuu, kama vile BWANA, Mungu wenu, alivyowatendea ninyi katika Misri, mbele ya macho yenu?


BWANA akaonesha ishara na maajabu makubwa na mazito, juu ya Misri, Farao, na nyumba yake yote, mbele ya macho yetu;


Nao wakamwambia, Sisi watumishi wako tunatoka nchi iliyo mbali sana, kwa sababu ya jina la BWANA, Mungu wako; kwa kuwa sisi tumesikia sifa zake, na habari ya hayo yote aliyofanya huko Misri,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo