Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 78:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Hawakulishika agano la Mungu; Wakakataa kufuata sheria yake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Hawakulizingatia agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Hawakulizingatia agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Hawakulizingatia agano la Mungu; walikataa kufuata sheria yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Hawakulishika agano la Mungu, na walikataa kuishi kwa sheria yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Hawakulishika agano la Mungu na walikataa kuishi kwa sheria yake.

Tazama sura Nakili




Zaburi 78:10
9 Marejeleo ya Msalaba  

ila wakakataa kutii, wala hawakuyakumbuka maajabu yako, uliyoyafanya kati yao; lakini wakafanya shingo zao kuwa ngumu, na katika kuasi kwao wakaweka jemadari, ili wairudie hali ya utumwa; lakini wewe u Mungu, uliye tayari kusamehe, mwenye neema, mwenye huruma nyingi, si mwepesi wa hasira, u mwingi wa rehema, basi hukuwaacha.


BWANA akamwambia Musa, Mtakataa kuyashika maagizo yangu na sheria zangu hata lini?


Si kwa mfano wa agano lile nililolifanya na baba zao, katika siku ile nilipowashika mkono, ili kuwatoa katika nchi ya Misri; ambalo agano langu hilo walilivunja, ingawa nilikuwa mume kwao, asema BWANA.


Lakini watoto hao waliniasi; hawakuenda katika amri zangu, wala hawakuzishika hukumu zangu kuzitenda, ambazo mwanadamu ataishi kwazo kama akizitenda; walizitia unajisi sabato zangu, ndipo nikasema, kwamba nitamwaga ghadhabu yangu juu yao, ili kuitimiza hasira yangu juu yao jangwani.


BWANA akamwambia Musa, Angalia, wewe utalala na baba zako; na watu hawa wataondoka, wataifuata kwa ukahaba miungu ya kigeni ya nchi waiendeayo kuwa kati yao, nao wataniacha mimi na kulivunja agano langu, nililofanya nao.


Kwa kuwa nitakapokwisha kuwatia katika nchi niliyowaapia baba zao, imiminikayo maziwa na asali; nao watakapokwisha kula na kushiba, na kuwanda; ndipo watakapoigeukia hiyo miungu mingine, na kuitumikia, na kunidharau mimi, na kulivunja agano langu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo