Zaburi 77:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC9 Mungu amesahau fadhili zake? Amezuia kwa hasira rehema zake? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, hasira yake imeuondoa upole wake?” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia fadhili zake?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 Je, Mungu amesahau kuwa na huruma? Je, katika hasira amezuia huruma yake?” Tazama sura |