Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 77:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Nilipotaka kumkumbuka Mungu nilifadhaika; Nilipotaka kutafakari roho yangu ilizimia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Ninamfikiria Mungu na kusononeka; ninatafakari na kufa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Ninamfikiria Mungu na kusononeka; ninatafakari na kufa moyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Ninamfikiria Mungu na kusononeka; ninatafakari na kufa moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni; nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni; nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.

Tazama sura Nakili




Zaburi 77:3
21 Marejeleo ya Msalaba  

Wanawe wote, na binti zake wote, wakaondoka wamtulize, lakini akakataa kutulizwa, akasema, La! Nitashuka kaburini kwa mwanangu, nikiomboleza. Basi baba yake akamlilia.


Je! Utulivu wa Mungu ni mdogo sana kwako, Maliwazo ya Mungu ni madogo sana kwako?


Kwani msiba utokao kwa Mungu ulikuwa na kitisho kwangu, Na kwa sababu ya ukuu wake sikuweza kufanya neno.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Kwa hiyo sitakizuia kinywa changu; Nitanena kwa mateso ya roho yangu; Nitalia kwa uchungu wa nafsi yangu.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumainie Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Maana nitamsifu tena, Aliye msaada wangu, Na Mungu wangu.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Toka mwisho wa nchi nitakulilia ninapozimia moyo, Uniongoze juu ya mwamba nisioweza kuupanda.


Usiku kitandani nilimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nilimtafuta, nisimpate.


BWANA, katika taabu zao walikwenda kwako; waliomba maombi mengi wakati adhabu yako ilipokuwa juu yao.


Usiwe sababu ya hofu kuu kwangu mimi; wewe ndiwe uliye kimbilio langu siku ya uovu.


Umeniweka nafsi yangu mbali na amani; Nikasahau kufanikiwa.


Mbona anung'unika mwanadamu aliye hai Mtu akiadhibiwa kwa dhambi zake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo