Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 77:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Nikasema, Ndio udhaifu wangu huo; Lakini nitaikumbuka miaka ya mkono wa kulia wake Aliye Juu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kisha nikasema, “Kinachonichoma zaidi ni kwamba, Mungu Mkuu hatendi tena kitu kwa ajili yetu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kisha nikasema, “Kinachonichoma zaidi ni kwamba, Mungu Mkuu hatendi tena kitu kwa ajili yetu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kisha nikasema, “Kinachonichoma zaidi ni kwamba, Mungu Mkuu hatendi tena kitu kwa ajili yetu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu: lakini nitakumbuka miaka ya mkono wa kuume wa Aliye Juu Sana.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 77:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani huyu afichaye ushauri bila maarifa? Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu, Mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.


Nikiwa katika hangaiko langu nikasema, Wanadamu wote ni waongo.


Nami nilisema kwa pupa yangu, Nimekatiliwa mbali na macho yako; Lakini ulisikia sauti ya kilio changu Wakati nilipokulilia.


Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.


Nilifikiri habari za siku za kale, Miaka ya zamani zilizopita.


BWANA, mkono wako wa kulia umepata fahari ya uwezo, BWANA, mkono wako wa kulia wawasetaseta adui.


Tazama toka mbinguni, ukaone toka makao ya utukufu wako na fahari yako; uko wapi wivu wako, na uweza wako? Shauku ya moyo wako, na huruma zako zimezuiliwa kwangu.


Mara babaye yule kijana akapaza sauti, akasema, Naamini, nisaidie kutoamini kwangu.


Au Mungu amekwenda wakati gani akajitwalia taifa kutoka kati ya taifa lingine, kwa majaribu, ishara, maajabu, vita, mkono hodari, mkono ulionyoshwa, na vitisho vikuu, kama vile BWANA, Mungu wenu, alivyowatendea ninyi katika Misri, mbele ya macho yenu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo