Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 76:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 wakati ulipoinuka kutekeleza hukumu, kuwaokoa wote wanaodhulumiwa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 wakati ulipoinuka kutekeleza hukumu, kuwaokoa wote wanaodhulumiwa duniani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 wakati ulipoinuka kutekeleza hukumu, kuwaokoa wote wanaodhulumiwa duniani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu, kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 76:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa BWANA awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.


Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.


Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.


bali kwa haki atawahukumu maskini, naye atawaonya wanyenyekevu wa dunia kwa adili; naye ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake, na kwa pumzi ya midomo yake atawaua wabaya.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Lakini BWANA yumo ndani ya hekalu lake takatifu; dunia yote na inyamaze kimya mbele zake.


Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.


BWANA akanena ghafla na Musa, na Haruni na Miriamu, na kuwaambia, Tokeni nje ninyi watatu, mwende hemani mwa kukutania. Basi hao watatu wakatoka nje.


Heri wenye upole; Maana hao watairithi nchi.


bali kuwe utu wa moyoni usioonekana, katika mapambo yasiyoharibika; yaani, roho ya upole na utulivu, iliyo ya thamani kuu mbele za Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo