Zaburi 76:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Ulipowakemea, ee Mungu wa Yakobo, farasi na wapandafarasi walikufa ganzi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Ulipowakemea, ee Mungu wa Yakobo, farasi na wapandafarasi walikufa ganzi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Ulipowakemea, ee Mungu wa Yakobo, farasi na wapandafarasi walikufa ganzi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, farasi na gari la vita vilikaa kimya. Tazama sura |