Zaburi 76:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Wekeni nadhiri na mziondoe Kwa BWANA, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mtimizieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu ahadi zenu; enyi mlio karibu mpeni zawadi Mungu wa kutisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mtimizieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu ahadi zenu; enyi mlio karibu mpeni zawadi Mungu wa kutisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mtimizieni Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu ahadi zenu; enyi mlio karibu mpeni zawadi Mungu wa kutisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wekeni nadhiri kwa Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wekeni nadhiri kwa bwana Mwenyezi Mungu wenu na kuzitimiza; nchi zote za jirani na walete zawadi kwa Yule astahiliye kuogopwa. Tazama sura |