Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 75:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Nitakapoufikia wakati ulioamriwa, Mimi nitahukumu hukumu za haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Mungu asema: “Mimi nimeweka wakati maalumu! Wakati huo nitahukumu kwa haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Mungu asema: “Mimi nimeweka wakati maalumu! Wakati huo nitahukumu kwa haki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Mungu asema: “Mimi nimeweka wakati maalumu! Wakati huo nitahukumu kwa haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 75:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Basi watu wa Yuda wakaenda, wakamtia Daudi mafuta huko, awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda. Wakamwambia Daudi wakasema, Watu wa Yabesh-gileadi ndio waliomzika Sauli.


Basi wazee wote wa Israeli wakamwendea mfalme huko Hebroni, naye mfalme Daudi akapatana nao huko Hebroni mbele za BWANA; wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya Israeli.


Daudi akatawala juu ya Israeli wote; naye Daudi akawafanyia hukumu na haki watu wake wote.


Nitakuwa na mwenendo usio na hatia; Utakuja kwangu lini? Nitakwenda kwa unyofu wa moyo Ndani ya nyumba yangu.


Wewe mwenyewe utasimama, Na kuirehemu Sayuni, Kwa maana ndio wakati wa kuihurumia, Naam, majira yaliyoamriwa yamewadia.


Nikasema moyoni mwangu, Mungu atawahukumu wenye haki na wasio haki; kwa kuwa kuna wakati huko kwa kila kusudi na kwa kila kazi.


Ee BWANA, wewe u Mungu wangu; Nitakutukuza na kulihimidi jina lako; Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu, Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.


Basi Yesu akawaambia, Wakati wangu haujafika bado; ila wakati wenu sikuzote upo.


Akawaambia, Si kazi yenu kujua nyakati wala majira, Baba aliyoyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa mtu yule aliyemchagua; naye amewapa watu wote uthabiti wa mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo