Zaburi 74:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Ee BWANA, uyakumbuke hayo, adui amelaumu, Na watu wapumbavu wamelidharau jina lako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Kumbuka, ee Mwenyezi-Mungu, madharau ya maadui zako; taifa pumbavu linalikashifu jina lako. Sisi ni dhaifu kama njiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Kumbuka, ee Mwenyezi-Mungu, madharau ya maadui zako; taifa pumbavu linalikashifu jina lako. Sisi ni dhaifu kama njiwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Kumbuka, ee Mwenyezi-Mungu, madharau ya maadui zako; taifa pumbavu linalikashifu jina lako. Sisi ni dhaifu kama njiwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Ee Mwenyezi Mungu, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki, jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Ee bwana, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki, jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako. Tazama sura |