Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 74:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

10 Ee Mungu, mtesi atalaumu hata lini? Adui alidharau jina lako hata milele?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mpaka lini, ee Mungu, adui atakucheka? Je, watalikufuru jina lako milele?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mpaka lini, ee Mungu, adui atakucheka? Je, watalikufuru jina lako milele?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mpaka lini, ee Mungu, adui atakucheka? Je, watalikufuru jina lako milele?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Ee Mungu, mtesi atakudhihaki hadi lini? Je, adui watalitukana jina lako milele?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini? Je, adui watalitukana jina lako milele?

Tazama sura Nakili




Zaburi 74:10
10 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sauti ya mwenye kulaumu na kukufuru, Kwa sababu ya adui na mjilipiza kisasi.


BWANA urudi, uniopoe nafsi yangu, Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.


Uwalipe jirani zetu mara saba vifuani mwao Laumu zao walizokulaumu, Ee Bwana.


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?


Ni nani uliyemshutumu na kumtukana? Umeinua sauti yako juu ya nani, na kuinua macho yako juu? Juu ya Mtakatifu wa Israeli.


Na mmoja akamwuliza yule mtu aliyevikwa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, Je! Itakuwa muda wa miaka mingapi hata mwisho wa mambo haya ya ajabu?


Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, na Mkweli, utakawia hadi lini kuhukumu na kuilipa damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo