Zaburi 74:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Kwa nini, ee Mungu, umetutupa kabisa? Mbona hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wako! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Kwa nini, ee Mungu, umetutupa kabisa? Mbona hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wako! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Kwa nini, ee Mungu, umetutupa kabisa? Mbona hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wako! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Ee Mungu, mbona umetukataa milele? Mbona hasira yako inatoka moshi juu ya kondoo wa malisho yako? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Ee Mungu, mbona umetukataa milele? Mbona hasira yako inatoka moshi juu ya kondoo wa malisho yako? Tazama sura |