Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 73:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Hudhihaki, husimulia mabaya, Husimulia udhalimu kana kwamba wako juu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Huwadhihaki wengine na kusema mabaya; hujivuna na kupanga kufanya uhasama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Huwadhihaki wengine na kusema mabaya; hujivuna na kupanga kufanya uhasama.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Huwadhihaki wengine na kusema mabaya; hujivuna na kupanga kufanya uhasama.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hudhihaki na kusema kwa ukorofi, katika majivuno yao wanatishia kutesa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hudhihaki na kusema kwa ukorofi, katika majivuno yao wanatishia kutesa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:8
16 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme asema hivi, Hezekia asiwadanganye; kwa maana, hataweza kuwaokoa katika mkono wake.


Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Nanyi mmejitukuza juu yangu kwa vinywa vyenu, na kuyaongeza maneno juu yangu; nimesikia mimi.


Wao hurudi, lakini si kwake Aliye Juu; wamekuwa kama upinde usiotumainika; wakuu wao wataanguka kwa upanga, kwa sababu ya ujeuri wa ndimi zao; na kwa sababu hiyo watachekwa katika nchi ya Misri.


na hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka.


Maana wakinena maneno makuu mno ya kiburi, kwa tamaa za mwili na kwa ufisadi huwahadaa watu walioanza kuwakimbia wale wanaoenenda katika udanganyifu;


Watu hawa ni wenye kunung'unika, wenye kulalamika, waendao kwa tamaa zao, na vinywa vyao vyanena maneno makuu mno ya kiburi, wakipendelea watu wenye cheo kwa ajili ya faida.


Basi, hakukuwa mhunzi yeyote katika nchi yote ya Israeli; kwa kuwa Wafilisti walisema, Waebrania wasije wakajitengenezea panga au mikuki;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo