Zaburi 73:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Hudhihaki, husimulia mabaya, Husimulia udhalimu kana kwamba wako juu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Huwadhihaki wengine na kusema mabaya; hujivuna na kupanga kufanya uhasama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Huwadhihaki wengine na kusema mabaya; hujivuna na kupanga kufanya uhasama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Huwadhihaki wengine na kusema mabaya; hujivuna na kupanga kufanya uhasama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Hudhihaki na kusema kwa ukorofi, katika majivuno yao wanatishia kutesa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Hudhihaki na kusema kwa ukorofi, katika majivuno yao wanatishia kutesa. Tazama sura |