Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 73:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Macho yao hutokeza kwa kunenepa, Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Macho yao hufura kwa uovu; mioyo yao hububujika mipango mibaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Macho yao hufura kwa uovu; mioyo yao hububujika mipango mibaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Macho yao hufura kwa uovu; mioyo yao hububujika mipango mibaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi, majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hayana kikomo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi, majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mfalme akamwambia Hamani, Hiyo fedha umepewa, na watu pia, fanya uonavyo vema.


Kwa kuwa amefunika uso wake na mafuta yake, Na kuwandisha mafuta kiunoni mwake;


Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Ee BWANA, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao liko katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao,


Fahamu, ndivyo walivyo wasio haki, Na kwa kustarehe sikuzote wamepata mali nyingi.


Kuonekana kwa nyuso zao kwashuhudia juu yao, wafunua dhambi yao kama Sodoma, hawaifichi. Ole wa nafsi zao, kwa maana wamejilipa nafsi zao uovu.


Wamenenepa sana, wang'aa; naam, wamepita kiasi kwa matendo maovu; hawatetei madai ya yatima, ili wapate kufanikiwa; wala hawaamui haki ya mhitaji.


Tazama, uovu wa dada yako, Sodoma, ulikuwa huu; kiburi, na kushiba chakula, na kufanikiwa, hayo yalikuwa ndani yake na binti zake; lakini hukuwasaidia maskini na wahitaji.


Na huko Maoni kulikuwa na mtu mmoja, ambaye alikuwa na mali yake katika Karmeli; naye yule mtu alikuwa tajiri sana, mwenye kondoo elfu tatu na mbuzi elfu moja; naye alikuwa akiwakata manyoya kondoo wake huko Karmeli.


Kisha Abigaili alimjia Nabali; na tazama, alikuwa amefanya karamu nyumbani mwake, kama karamu ya kifalme; na moyo wake huyo Nabali ukafurahiwa ndani yake, kwa maana amelewa kabisa. Kwa sababu hiyo hakumwambia neno, dogo wala kubwa, hadi kulipopambazuka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo