Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 73:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Hawana taabu kama watu wengine, Wala hawapati mapigo kama wanadamu wenzao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Taabu za binadamu haziwapati hao; hawapati mateso kama watu wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Taabu za binadamu haziwapati hao; hawapati mateso kama watu wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Taabu za binadamu haziwapati hao; hawapati mateso kama watu wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine, wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine, wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwamba mwovu huachiliwa katika siku ya msiba? Na kuongozwa nje katika siku ya ghadhabu?


Hata nikumbukapo nahuzunika, Na utisho wanishika mwilini mwangu.


Nyumba zao ni salama bila hofu, Wala fimbo ya Mungu haiwapigi.


Fahamu, ndivyo walivyo wasio haki, Na kwa kustarehe sikuzote wamepata mali nyingi.


Ila tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia.


Basi kama mkiwa hamna kurudiwa, ambako ni fungu la wote, ndipo mmekuwa wana wa haramu ninyi, wala si wana wa halali.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo