Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 73:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

22 Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa kama mnyama mbele yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa kama mnyama mbele yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa kama mnyama mbele yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:22
9 Marejeleo ya Msalaba  

Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?


Msiwe kama farasi wala nyumbu, Wasiokuwa na akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.


Naam, ataliona, hata wenye hekima hufa; Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja, Na kuwaachia wengine mali zao.


Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, Wala hukufichwa dhambi yangu.


Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Hakika nimekuwa kama mnyama, wala si mtu; Wala sina ufahamu wa mwanadamu;


Nikasema moyoni mwangu, Ni kwa sababu ya wanadamu, ili Mungu awajaribu, nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama.


Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo