Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 73:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Nami nilifikiri jinsi ya kufahamu hayo; Ikawa taabu machoni pangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Basi, nilijaribu kufikiria jambo hili, lakini lilikuwa gumu mno kwangu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Basi, nilijaribu kufikiria jambo hili, lakini lilikuwa gumu mno kwangu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Basi, nilijaribu kufikiria jambo hili, lakini lilikuwa gumu mno kwangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Nilipojaribu kuelewa haya yote, yalikuwa magumu kwangu kuelewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Nilipojaribu kuelewa haya yote, yalikuwa magumu kwangu kuelewa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Haki yako ni kama milima ya Mungu, Hukumu zako ni vilindi vikuu, Ee BWANA, unawalinda wanadamu na wanyama.


Kweli, watu wote hupita kama kivuli; Wao hujisumbua bure tu; Wanajirundikia mali wala hawajui ni nani atakayeirithi.


Njia yako ilikuwa katika bahari. Na mapito yako yalikuwa katika maji makuu; Hatua zako hazikujulikana.


Mawingu na giza vyamzunguka, Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake.


Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kufukuza upepo.


basi, niliiona kazi yote ya Mungu, ya kuwa haifahamiki na mwanadamu kazi inayofanyika chini ya jua; kwa sababu hata mwanadamu akijisumbua kadiri awezavyo kuichunguza, hataiona; naam, zaidi ya hayo, hata ingawa mwenye hekima hadai anajua, wao hawawezi kuifahamu.


Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hukumu zake hazichunguziki, wala njia zake hazieleweki!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo