Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 73:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Nao husema, Mungu ajuaje? Yako maarifa kwake aliye juu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

Tazama sura Nakili




Zaburi 73:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Mdhalimu kwa kiburi cha uso wake Asema, Mungu Hatapatiliza. Mawazo yake yote ni, Hakuna Mungu;


Je! Mungu hangegundua jambo hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.


Wameweka kinywa chao mbinguni, Na ulimi wao hutangatanga duniani.


Nao husema, BWANA haoni; Mungu wa Yakobo hatambui.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, umeyaona wanayotenda wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mtu ndani ya vyumba vyake vya sanamu? Maana husema, BWANA hatuoni; BWANA ameiacha nchi hii.


Wala hawafikiri mioyoni mwao ya kwamba naukumbuka uovu wao wote; sasa matendo yao wenyewe yamewazunguka pande zote; yako mbele za uso wangu.


Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya masira yao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo