Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 71:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Nimekuwa kifani kwa watu wengi, Lakini wewe ndiwe kimbilio langu la nguvu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Kwa wengi nimekuwa kioja, lakini wewe u kimbilio langu imara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Kwa wengi nimekuwa kioja, lakini wewe u kimbilio langu imara.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Kwa wengi nimekuwa kioja, lakini wewe u kimbilio langu imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nimekuwa ishara mbaya kwa wengi, lakini wewe ni kimbilio langu imara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nimekuwa kama kioja kwa wengi, lakini wewe ni kimbilio langu imara.

Tazama sura Nakili




Zaburi 71:7
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana ulikuwa kimbilio langu, Ngome yenye nguvu adui asinipate.


Kwa Mungu wokovu wangu, Na utukufu wangu; Mwamba wa nguvu zangu, Na kimbilio langu ni kwa Mungu.


Enyi watu, mtumainini sikuzote, Ifunueni mioyo yenu mbele zake; Mungu ndiye kimbilio letu.


Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Angalieni, mimi na watoto hawa niliopewa na BWANA tu ishara na ajabu katika Israeli, zitokazo kwa BWANA wa majeshi, yeye akaaye katika mlima Sayuni.


Ee BWANA, nguvu zangu, ngome yangu, na kimbilio langu siku ya taabu, kwako wewe watakuja mataifa yote toka ncha za dunia, wakisema, Baba zenu hawakurithi kitu ila uongo, naam, ubatili na vitu visivyofaa.


Kisha malaika wa BWANA akamshuhudia Yoshua, akisema,


Sikiliza sasa, Ee Yoshua, kuhani mkuu, wewe na wenzako wanaoketi mbele yako; maana hao ni watu walio ishara ya mambo yajayo; kwa maana, tazama, ninamleta mtumishi wangu, aitwaye Chipukizi.


Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu mama yake, Tazama, huyu amewekwa kwa kuanguka na kuinuka wengi walio katika Israeli, na kuwa ishara itakayonenewa.


Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.


Maana nadhani ya kuwa Mungu ametutoa sisi mitume mwisho, kama watu waliohukumiwa wauawe; kwa sababu tumekuwa tamasha kwa dunia; kwa malaika na wanadamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo