Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 71:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 nimekutegemea tangu kuzaliwa kwangu, ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu. Mimi nitakusifu wewe daima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 nimekutegemea tangu kuzaliwa kwangu, ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu. Mimi nitakusifu wewe daima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 nimekutegemea tangu kuzaliwa kwangu, ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu. Mimi nitakusifu wewe daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe, ulinitoa tumboni mwa mama yangu. Nitakusifu wewe daima.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe, ulinitoa tumboni mwa mama yangu. Nitakusifu wewe daima.

Tazama sura Nakili




Zaburi 71:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

Usiwe mbali nami maana taabu i karibu, Kwa maana hakuna msaidizi.


Nitamhimidi BWANA kila wakati, Sifa zake zi kinywani mwangu daima.


Heri aliyemfanya BWANA kuwa tumaini lake, Wala hakuwaelekea wenye kiburi, Wala hao wanaogeukia uongo.


Lakini mimi nitakutumainia daima, Nitaendelea kukusifu zaidi na zaidi.


Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.


Nisikilizeni, enyi visiwa; tegeni masikio yenu, enyi makabila ya watu mlio mbali sana; BWANA ameniita tangu tumboni; toka tumbo la mama yangu amenitaja jina langu.


Na sasa BWANA asema hivi, yeye aliyeniumba tangu tumboni niwe mtumishi wake, ili nimletee Yakobo tena, na Israeli wakusanyike mbele zake tena; (maana mimi nimepata heshima mbele ya macho ya BWANA, na Mungu wangu amekuwa nguvu zangu);


Kabla sijakuumba katika tumbo nilikujua, na kabla hujatoka tumboni, nilikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.


Je, tokea wakati huu hutanililia, Ee Baba yangu, wewe u kiongozi wa ujana wangu?


Lakini Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu, akaniita kwa neema yake,


na kumshukuru Mungu Baba sikuzote kwa mambo yote, katika jina lake Bwana wetu Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo