Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 71:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Nitakuja na mambo ya ajabu ya Bwana MUNGU; Nitawakumbusha watu haki yako Wewe peke yako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Nitataja matendo yako makuu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu; nitatangaza kuwa ndiwe mwadilifu peke yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Nitataja matendo yako makuu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu; nitatangaza kuwa ndiwe mwadilifu peke yako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Nitataja matendo yako makuu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu; nitatangaza kuwa ndiwe mwadilifu peke yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Ee Bwana Mungu Mwenyezi, nitakuja na kutangaza matendo yako makuu, nitatangaza haki yako, yako peke yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Ee bwana Mwenyezi, nitakuja na kutangaza matendo yako makuu, nitatangaza haki yako, yako peke yako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 71:16
23 Marejeleo ya Msalaba  

Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya BWANA, Au kuzihubiri sifa zake zote?


BWANA na awape watu wake nguvu; BWANA na awabariki watu wake kwa amani.


Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu, Uniponye na umwagaji wa damu, Na ulimi wangu utaiimba haki yako.


Lakini mimi nitakutumainia daima Na nitaendelea kukusifu zaidi na zaidi.


Na haki yako, Ee Mungu, Imefika juu sana. Wewe uliyefanya mambo makuu; Ee Mungu, ni nani aliye kama Wewe?


Kwa haki yako uniponye, uniponye, Unitegee sikio lako, uniokoe.


Ulimi wangu nao utasimulia Haki yako mchana kutwa. Kwa maana wameaibishwa, Wametahayarika, wanaonitakia mabaya.


Ee BWANA, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina lako.


bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa kama tai; watakimbia, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.


Nitautaja wema wa BWANA, sifa za BWANA kwa yote aliyotukirimia BWANA; na wingi wa wema wake kwa nyumba ya Israeli, aliowakirimia kwa rehema zake, na kwa wingi wa wema wake.


Nami nitawatia nguvu katika BWANA; nao watatembea huku na huko katika jina lake, asema BWANA.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


Kwa maana haki ya Mungu inadhihirishwa ndani yake, toka imani hadi imani; kama ilivyoandikwa, Mwenye haki ataishi kwa imani.


Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu, na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.


Lakini sasa, haki ya Mungu imedhihirika pasipo sheria; inashuhudiwa na Torati na Manabii;


awajalieni, kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake, kufanywa imara kwa nguvu, kwa kazi ya Roho wake katika utu wa ndani.


Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.


Makomeo yako yatakuwa ya chuma na shaba; Na kadiri ya siku zako ndivyo zitakavyokuwa nguvu zako.


tena nionekane katika yeye, nisiwe na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani iliyo katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu, kwa imani;


Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.


Kwa kuwa ni haki mbele za Mungu kuwalipa mateso wale wawatesao ninyi;


Basi wewe, mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo katika Kristo Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo