Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 71:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 na kusema: “Mungu amemwacha; mfuateni na kumkamata, kwani hakuna wa kumwokoa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 na kusema: “Mungu amemwacha; mfuateni na kumkamata, kwani hakuna wa kumwokoa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 na kusema: “Mungu amemwacha; mfuateni na kumkamata, kwani hakuna wa kumwokoa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.”

Tazama sura Nakili




Zaburi 71:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.


Nilikuwa kijana na sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzawa wake akiomba chakula.


Kwa kuwa BWANA hupenda haki, Wala hawaachi watauwa wake. Wao hulindwa milele, Bali mzawa wa wasio haki ataharibiwa.


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Yafahamuni hayo, Ninyi mnaomsahau Mungu, Nisije nikawararueni, Asipatikane wa kuwaokoa.


Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.


Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zumari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuri liwakalo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi mikononi mwangu?


Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?


Wale wengine wakasema, Acha; na tuone kama Eliya anakuja kumwokoa.


Kisha Sauli aliambiwa ya kwamba Daudi amefika Keila. Sauli akasema, Mungu amemtia mkononi mwangu; kwa maana amefungwa ndani, kwa vile alivyoingia katika mji wenye malango na makomeo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo