Zaburi 71:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Wakisema, Mungu amemwacha, Mfuatieni, mkamateni, hakuna wa kumponya. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 na kusema: “Mungu amemwacha; mfuateni na kumkamata, kwani hakuna wa kumwokoa!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 na kusema: “Mungu amemwacha; mfuateni na kumkamata, kwani hakuna wa kumwokoa!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 na kusema: “Mungu amemwacha; mfuateni na kumkamata, kwani hakuna wa kumwokoa!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Wanasema, “Mungu amemwacha, mkimbilieni mkamkamate, kwani hakuna wa kumwokoa.” Tazama sura |
Basi sasa, kama mkiwa tayari wakati mtakapoisikia sauti ya panda, na filimbi, na kinubi, na zeze, na santuri, na zumari, na namna zote za ngoma, kuanguka na kuisujudia sanamu niliyoisimamisha, ni vema; bali msipoisujudia, mtatupwa saa iyo hiyo katika tanuri liwakalo moto; naye ni nani Mungu yule atakayewaokoa ninyi mikononi mwangu?