Zaburi 7:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Naye amemtengenezea silaha za kuua, Akifanya mishale yake kuwa mipini ya moto. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 Atatayarisha silaha zake za hatari, na kuipasha moto mishale yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 Atatayarisha silaha zake za hatari, na kuipasha moto mishale yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 Atatayarisha silaha zake za hatari, na kuipasha moto mishale yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Ameandaa silaha zake kali, ameweka tayari mishale yake ya moto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Ameandaa silaha zake kali, ameweka tayari mishale yake ya moto. Tazama sura |