Zaburi 69:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Wanaokungoja Wewe wasiaibishwe, Kwa ajili yangu, Bwana, MUNGU wa majeshi. Wanaokutafuta Wewe wasifedheheshwe, Kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Wanaokutumainia wasiaibishwe kwa sababu yangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshi; wanaokutafuta, wasione fedheha kwa sababu yangu ee Mungu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Wanaokutumainia wasiaibishwe kwa sababu yangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshi; wanaokutafuta, wasione fedheha kwa sababu yangu ee Mungu wa Israeli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Wanaokutumainia wasiaibishwe kwa sababu yangu, ee Bwana Mwenyezi-Mungu wa majeshi; wanaokutafuta, wasione fedheha kwa sababu yangu ee Mungu wa Israeli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Ee Mwenyezi Mungu, Mungu wa majeshi ya mbinguni, wanaokutumaini wasiaibishwe kwa ajili yangu; wanaokutafuta wasifedheheshwe kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Ee Bwana, ewe bwana Mwenye Nguvu Zote, wakutumainio wasiaibishwe kwa ajili yangu; wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu, Ee Mungu wa Israeli. Tazama sura |