Zaburi 69:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Nayo yatampendeza BWANA kuliko ng'ombe, Au ndama mwenye pembe na kwato. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Jambo hili litampendeza Mwenyezi-Mungu zaidi, kuliko kumtolea tambiko ya ng'ombe, kuliko kumtolea fahali mzimamzima. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Jambo hili litampendeza Mwenyezi-Mungu zaidi, kuliko kumtolea tambiko ya ng'ombe, kuliko kumtolea fahali mzimamzima. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Jambo hili litampendeza Mwenyezi-Mungu zaidi, kuliko kumtolea tambiko ya ng'ombe, kuliko kumtolea fahali mzimamzima. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Hili litampendeza Mwenyezi Mungu kuliko ng’ombe dume, zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Hili litampendeza bwana kuliko ng’ombe dume, zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake. Tazama sura |