Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 69:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Uwaongezee uovu juu ya uovu, Wala wasipate msamaha kutoka kwako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Uwaadhibu kwa kila uovu wao; uwakatalie kabisa msamaha wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Uwaadhibu kwa kila uovu wao; uwakatalie kabisa msamaha wako.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Uwaadhibu kwa kila uovu wao; uwakatalie kabisa msamaha wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Walipize uovu juu ya uovu, usiwaache washiriki katika wokovu wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Walipize uovu juu ya uovu, usiwaache washiriki katika wokovu wako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 69:27
23 Marejeleo ya Msalaba  

wala usiusitiri uovu wao, wala isifutwe dhambi yao, mbele zako; kwa maana wamekukasirisha mbele ya hao wanaojenga.


Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?


Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za BWANA, Na dhambi ya mamaye isifutwe.


Atapokea baraka kwa BWANA, Na haki kwa Mungu wa wokovu wake.


Nikawaacha wakaenda kwa ukaidi wa mioyo yao, Waenende katika mashauri yao.


Lakini Farao alipoona ya kuwa pana nafuu, akaufanya moyo wake kuwa mzito, asiwasikize; kama BWANA alivyonena.


Farao akaufanya moyo wake kuwa mzito mara hiyo nayo, wala hakuwapa ruhusa hao watu waende zao.


BWANA akaufanya mgumu moyo wa Farao, asiwasikize; vile vile kama BWANA alivyomwambia Musa.


Mtu mbaya ajapofadhiliwa, Hata hivyo hatajifunza haki; Katika nchi ya unyofu atatenda udhalimu, Wala hatauona utukufu wa BWANA.


nami nitaliharibu; wala halitapogolewa wala kulimwa, bali litamea mbigili na miiba; nami nitayaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.


Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.


Na watu wa kwenu watakaobaki watafifia kwa ajili ya uovu wao, katika hizo nchi za adui zenu; tena watafifia kwa ajili ya uovu wa baba zao, pamoja nao.


Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, Yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.


Basi, kama ni hivyo, atakaye kumrehemu humrehemu, na atakaye kumfanya mgumu humfanya mgumu.


bali Israeli wakiifuata sheria ya haki hawakuifikia ile sheria.


Iskanda, mfua shaba, alionesha ubaya mwingi kwangu; Bwana atamlipa kulingana na matendo yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo