Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 69:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Uimwage ghadhabu yako juu yao, Na ukali wa hasira yako uwapate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Uwamwagie hasira yako, ghadhabu yako iwakumbe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Uwamwagie hasira yako, ghadhabu yako iwakumbe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Uwamwagie hasira yako, ghadhabu yako iwakumbe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Uwamwagie ghadhabu yako, hasira yako kali na iwapate.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Uwamwagie ghadhabu yako, hasira yako kali na iwapate.

Tazama sura Nakili




Zaburi 69:24
14 Marejeleo ya Msalaba  

Ukali wako uwamwagie mataifa wasiokujua, Na falme za hao wasioliitia jina lako.


Ndipo majumbe wa Edomu wakashangaa, Watu wa Moabu wenye nguvu tetemeko limewapata, Watu wote wakaao Kanaani wameyeyuka.


Nao watafadhaika; watashikwa na uchungu na maumivu; watakuwa na uchungu kama mwanamke aliye karibu kuzaa; watakodoleana macho; nyuso zao zitakuwa ni nyuso za moto.


Wakuu wa Yuda ni kama watu waondoao alama ya mpaka; nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji.


Lakini maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je, Hazikuwapata baba zenu? Nao wakatubu na kusema, BWANA wa majeshi ametutenda kulingana na njia zetu, na matendo yetu, kama alivyokusudia kutenda.


Kwa kuwa siku hizo ndizo za mapatilizo, ili yatimizwe yote yaliyoandikwa.


Ndipo hasira yangu itakapowaka juu yao siku hiyo, nami nitawaacha, nitawaficha uso wangu, nao wataliwa, tena watajiliwa na mambo maovu mengi na mashaka; hata waseme siku hiyo, Je! Kujiliwa kwetu na maovu haya si kwa sababu Mungu wetu hayumo kati yetu?


Nikasikia sauti kuu kutoka hekaluni, ikiwaambia wale malaika saba, Nendeni mkayamwage yale mabakuli saba ya ghadhabu ya Mungu juu ya nchi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo