Zaburi 69:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Ee BWANA, unijibu, maana fadhili zako ni njema, Kwa kadiri ya rehema zako unielekee. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Unijibu, ee Mwenyezi-Mungu, kwa wema na fadhili zako; unielekee kwa wingi wa huruma yako. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Unijibu, ee Mwenyezi-Mungu, kwa wema na fadhili zako; unielekee kwa wingi wa huruma yako. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Unijibu, ee Mwenyezi-Mungu, kwa wema na fadhili zako; unielekee kwa wingi wa huruma yako. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Ee Mwenyezi Mungu, unijibu, kwa wema wa upendo wako; kwa huruma zako nyingi unigeukie. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Ee bwana, unijibu, kwa wema wa upendo wako; kwa huruma zako nyingi unigeukie. Tazama sura |