Zaburi 68:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Kwa nini kulala mazizini arukapo hua, Mbawa zake ziking'aa kama fedha Na manyoya yake kama dhahabu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 ingawa walibaki mazizini: Sanamu za njiwa wa madini ya fedha, na mabawa yao yanangaa kwa dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 ingawa walibaki mazizini: Sanamu za njiwa wa madini ya fedha, na mabawa yao yanangaa kwa dhahabu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 ingawa walibaki mazizini: sanamu za njiwa wa madini ya fedha, na mabawa yao yanang'aa kwa dhahabu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 Hata unapolala kati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu inayong’aa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini, mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha, manyoya yake kwa dhahabu ing’aayo.” Tazama sura |