Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 68:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Wafalme wa majeshi wanakimbia, wanakimbia; Na mwanamke akaaye nyumbani anagawa nyara.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Wafalme na majeshi yao wanakimbia ovyo!” Kina mama majumbani waligawana nyara,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Wafalme na majeshi yao wanakimbia ovyo!” Kina mama majumbani waligawana nyara,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Wafalme na majeshi yao wanakimbia ovyo!” Kina mama majumbani waligawana nyara,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi, wanawake waliobaki nyumbani waligawana nyara.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Wafalme na majeshi walikimbia upesi, watu waliobaki kambini waligawana nyara.

Tazama sura Nakili




Zaburi 68:12
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akayakwamisha magurudumu ya magari yao, hata yakaenda kwa shida; na Wamisri wakasema, Na tuwakimbieni Waisraeli; kwa kuwa BWANA anawapigania.


ukagawanye nyara katika mafungu mawili; kati ya wanajeshi waliotoka nje kupigana vita na hio jumuiya nzima;


Basi Musa na Eleazari kuhani wakapokea hiyo dhahabu mikononi mwa hao makamanda wa maelfu na wa mamia, na kuileta ndani ya hema ya kukutania, ili iwe ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli mbele za BWANA.


Na hawa wafalme watano wakakimbia, wakajificha ndani ya pango la Makeda.


Na wafalme hao wote na nchi zao Yoshua akatwaa kwa wakati mmoja, kwa sababu yeye BWANA, Mungu wa Israeli, alipigana kwa ajili ya Israeli,


Na wafalme wa dunia, na wakuu, na majemadari, na matajiri, na wenye nguvu, na kila mtumwa, na muungwana, wakajificha katika pango na chini ya miamba ya milima,


Wafalme walikuja wakafanya vita, Ndipo wafalme wa Kanaani walifanya vita. Katika Taanaki, karibu na maji ya Megido; Hawakupata faida yoyote ya fedha.


Je! Hawakupata mateka na kuyagawanya, Kijakazi, vijakazi wawili, kwa kila mtu? Kwa Sisera nyara ya mavazi ya rangi mbalimbali, Nyara za mavazi ya rangi mbalimbali ya darizi; Ya rangi mbalimbali ya darizi, pande zote mbili, Juu ya shingo za hao mateka.


Tena ni nani atakayewasikiliza ninyi katika jambo hili? Kwa kuwa kama lilivyo fungu lake yeye ashukaye vitani, ndivyo litakavyokuwa na fungu lake huyo akaaye karibu na vyombo; watagawiwa sawasawa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo