Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 68:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Bwana analitoa neno lake; Wanawake watangazao habari ni jeshi kubwa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Bwana alitoa amri, nao wanawake wengi wakatangaza habari:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Bwana alitoa amri, nao wanawake wengi wakatangaza habari:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Bwana alitoa amri, nao wanawake wengi wakatangaza habari:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Bwana analitoa neno, wanawake wanaolitangaza neno hilo ni kundi kubwa:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Bwana alitangaza neno, waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:

Tazama sura Nakili




Zaburi 68:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akatia wimbo mpya kinywani mwangu, Ndio sifa zake Mungu wetu. Wengi wataona na kuogopa, Nao watamtumainia BWANA.


Waimbaji hutangulia, nyuma yao wapigao vinanda, Kati ya wanawali wapiga matari.


BWANA akamwambia Musa, Mbona unanililia mimi? Waambie wana wa Israeli waendelee mbele.


Na Miriamu, nabii mwanamke, dada yake Haruni, akatwaa tari mkononi mwake; wanawake wakatoka wote wakaenda nyuma yake, wenye matari na kucheza.


Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu;


Naye amevikwa vazi lililoloweshwa katika damu, na jina lake anaitwa, Neno la Mungu.


Siku moja Debora akatuma mtu akamwita Baraka wa Abinoamu kutoka Kedesh-Naftali, akamwambia, BWANA, Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: “Nenda, ukawaogoze watu elfu kumi na wana wa Naftali, na wa wana wa Zabuloni, ili washike doria katika mlima Tabori”.


Hata ikawa, walipokuwa wakienda, hapo Daudi aliporudi baada ya kumwua yule Mfilisti, wanawake wakatoka katika miji yote ya Israeli, kwa kuimba na kucheza, ili kumlaki mfalme Sauli; wakatoka na matari, na shangwe, na vinanda.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo