Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 67:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Nchi imetoa mazao yake MUNGU, Mungu wetu, ametubariki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nchi imetoa mazao yake; Mungu, Mungu wetu, ametubariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nchi imetoa mazao yake; Mungu, Mungu wetu, ametubariki.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nchi imetoa mazao yake; Mungu, Mungu wetu, ametubariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ndipo nchi itatoa mazao yake, naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ndipo nchi itatoa mazao yake, naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.

Tazama sura Nakili




Zaburi 67:6
13 Marejeleo ya Msalaba  

Agano langu nitalifanya imara kati yangu na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.


Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza.


Tena Mungu akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli maneno haya, BWANA, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaka, Mungu wa Yakobo, amenituma kwenu; hili ndilo jina langu hata milele, nalo ni kumbukumbu langu hata vizazi vyote.


Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi;


Wakati huo, asema BWANA, nitakuwa Mungu wa jamaa zote za Israeli, nao watakuwa watu wangu.


Bali agano hili ndilo nitakalofanya na nyumba ya Israeli, baada ya siku zile, asema BWANA; Nitatia sheria yangu ndani yao, na katika mioyo yao nitaiandika; nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.


Nayo nchi itazaa matunda yake, nanyi mtakula na kushiba, na kuishi humo salama.


ndipo nitazinyesha mvua zenu kwa nyakati zake, na nchi itazaa mavuno yake, na miti ya mashambani itazaa matunda yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo