Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 66:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai, Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.

Tazama sura Nakili




Zaburi 66:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.


Hatauacha mguu wako usogezwe; Akulindaye hatasinzia;


Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya nchi ya wenye haki; Ili wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.


Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee BWANA, fadhili zako zilinitegemeza.


Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazawa wake.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na BWANA, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya kombeo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo