Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 66:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Mwambieni Mungu: “Matendo yako ni ya ajabu mno! Nguvu zako ni kubwa mno hata maadui zako wanajikunyata kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Mwambieni Mungu: “Matendo yako ni ya ajabu mno! Nguvu zako ni kubwa mno hata maadui zako wanajikunyata kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Mwambieni Mungu: “Matendo yako ni ya ajabu mno! Nguvu zako ni kubwa mno hata maadui zako wanajikunyata kwa hofu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wanajikunyata mbele zako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako! Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba adui wananyenyekea mbele zako.

Tazama sura Nakili




Zaburi 66:3
19 Marejeleo ya Msalaba  

Enzi na hofu zi pamoja na Mungu; Hufanya amani katika mahali pake palipoinuka.


Mara tu waliposikia habari zangu, wakanitii. Wageni walinijia wakinyenyekea.


Wageni nao walitepetea, Walitoka katika ngome zao wakitetemeka.


Kwa kuwa BWANA Aliye Juu, mwenye kuogofya, Ndiye mfalme mkuu juu ya dunia yote.


Kwa mambo ya kutisha utatujibu, Katika haki, Ee Mungu wa wokovu wetu. Wewe uliye tumaini la miisho yote ya dunia, Na la bahari iliyo mbali sana,


Mkemee mnyama wa mafunjoni; Kundi la mafahali, na ndama za watu; Hata wanyenyekee na kuleta vipande vya fedha, Uwatawanye watu wapendao vita.


Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.


Wamchukiao BWANA wangenyenyekea mbele zake, Na maangamizi yao yangedumu milele.


Miriamu akawaitikia, Mwimbieni BWANA kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini.


Na watu wataingia ndani ya pango za majabali, na ndani ya mashimo ya nchi, mbele za utisho wa BWANA na utukufu wa enzi yake, atakapoondoka ili aitetemeshe mno dunia.


Kwa hiyo watu walio hodari watakutukuza, Miji ya mataifa yatishayo itakuogopa.


Inueni macho yenu juu, mkaone; ni nani aliyeziumba hizi; aletaye nje jeshi lao kwa hesabu; aziita zote kwa majina; kwa ukuu wa uweza wake, na kwa kuwa yeye ni hodari kwa nguvu zake; hapana moja isiyokuwapo mahali pake.


Ulipofanya mambo ya kutisha tusiyoyatazamia, ulishuka, milima ikatetemeka mbele zako.


Bali BWANA ndiye Mungu wa kweli; Ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele; Mbele za ghadhabu yake nchi yatetemeka, Wala mataifa hawawezi kustahimili hasira yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo