Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 66:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Na ahimidiwe Mungu asiyeyakataa maombi yangu, Wala kuniondolea fadhili zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Asifiwe Mungu, maana hakuikataa sala yangu, wala kuondoa fadhili zake kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Asifiwe Mungu, maana hakuikataa sala yangu, wala kuondoa fadhili zake kwangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Asifiwe Mungu, maana hakuikataa sala yangu, wala kuondoa fadhili zake kwangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Ahimidiwe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu, wala kunizuilia upendo wake!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Sifa apewe Mungu, ambaye hakulikataa ombi langu wala kunizuilia upendo wake!

Tazama sura Nakili




Zaburi 66:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hapuuzi Wala kuchukizwa na mateso ya anayeteswa, Wala hamfichi uso wake, Bali humsikia akimlilia.


Nami nilisema kwa pupa yangu, Nimekatiliwa mbali na macho yako; Lakini ulisikia sauti ya kilio changu Wakati nilipokulilia.


Usinitenge na uso wako, Wala roho yako mtakatifu usiniondolee.


Mungu ni mwenye kutisha Kutoka patakatifu pako. Ndiye Mungu wa Israeli; Yeye huwapa watu wake nguvu na uwezo. Na ahimidiwe Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo