Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 66:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Imbeni juu ya utukufu wa jina lake, mtoleeni sifa tukufu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Imbeni juu ya utukufu wa jina lake, mtoleeni sifa tukufu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Imbeni juu ya utukufu wa jina lake, mtoleeni sifa tukufu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Imbeni utukufu wa jina lake; mpeni sifa zake kwa utukufu!

Tazama sura Nakili




Zaburi 66:2
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Walawi, Yeshua na Kadmieli, na Bani, na Hashabneya, na Sherebia, na Hodia, na Shebania, na Pethahia, wakasema, Simameni, mkamhimidi BWANA, Mungu wenu, tangu milele na hata milele. Na lihimidiwe jina lako tukufu, lililotukuka kuliko baraka zote na sifa zote.


Nani awezaye kuyanena matendo makuu ya BWANA, Au kuzihubiri sifa zake zote?


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamtolee dhabihu za kushukuru, Na kuyasimulia matendo yake kwa kuimba.


Apandaye mbingu za mbingu za tangu milele; Aitoa sauti yake, sauti ya nguvu.


Na ahimidiwe BWANA, Mungu, Mungu wa Israeli, Atendaye miujiza Yeye peke yake;


Ee Mungu wa wokovu wetu, utusaidie, Kwa ajili ya utukufu wa jina lako. Utuokoe, utusamehe dhambi zetu, Kwa ajili ya jina lako.


Na wamtukuze BWANA, Na kutangaza sifa zake visiwani.


Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi; Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima; Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake, Naye atawahurumia watu wake walioteswa.


Wakaitana, kila mmoja na mwenzake, wakisema, Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu, ni BWANA wa majeshi; dunia yote imejaa utukufu wake.


Na kila kiumbe kilichoko mbinguni na juu ya nchi na chini ya nchi na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyomo ndani yake, nilivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na kwake Mwana-kondoo, hata milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo