Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 66:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Hakika Mungu amesikia; Ameisikiliza sauti ya maombi yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Lakini kweli Mungu amenisikiliza; naam, amesikiliza maneno ya sala yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Lakini kweli Mungu amenisikiliza; naam, amesikiliza maneno ya sala yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Lakini kweli Mungu amenisikiliza; naam, amesikiliza maneno ya sala yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 66:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Nimeyasikia maombi yako na dua zako, ulizotoa mbele zangu. Nimeitakasa nyumba hii uliyoijenga ili niweke jina langu humo milele; tena macho yangu na moyo wangu utakuwapo hapo siku zote;


Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.


BWANA ameisikia dua yangu; BWANA atayatakabali maombi yangu.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo