Zaburi 66:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Uliwapandisha watu Juu ya vichwa vyetu. Tulipitia motoni na majini; Ukatutoa na kutuleta kwenye ufanisi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Umewaacha watu watukanyage; tumepitia motoni na majini. Lakini sasa umetuleta kwenye usalama. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Umewaacha watu watukanyage; tumepitia motoni na majini. Lakini sasa umetuleta kwenye usalama. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Umewaacha watu watukanyage; tumepitia motoni na majini. Lakini sasa umetuleta kwenye usalama. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Uliwaruhusu watu watukalie vichwani, tulipita kwenye moto na kwenye maji, lakini ulituleta kwenye nchi iliyojaa utajiri tele. Tazama sura |