Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 66:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Ulituingiza ndani ya wavu, Na kuweka viunoni mwetu mzigo uliotulemea.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Umetuacha tunaswe wavuni; umetubebesha taabu nzito.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Umetuacha tunaswe wavuni; umetubebesha taabu nzito.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Umetuacha tunaswe wavuni; umetubebesha taabu nzito.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.

Tazama sura Nakili




Zaburi 66:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Jueni basi kuwa Mungu amenipotosha, Na kunizingira kwa wavu wake.


Toka juu amepeleka moto mifupani mwangu, Nao umeishinda; Ametandika wavu aninase miguu, Amenirudisha nyuma; Amenifanya kuwa mtu wa pekee, Na mgonjwa mchana kutwa.


Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, ingawa atakufa huko.


Watakapokwenda nitatandika wavu wangu juu yao; nitawashusha kama ndege wa angani; nitawarudi, kama vile mkutano wao ulivyosikia.


Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]


Ee BWANA, ubariki mali zake, Utakabali kazi ya mikono yake; Uwapige viuno vyao waondokao juu yake, Na wenye kumchukia, wasiinuke tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo