Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 65:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Umeuvika mwaka taji la wema wako; Mapito yako yadondoza unono.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wautunukia mwaka wote mema yako, kila ulipopitia pamejaa fanaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wautunukia mwaka wote mema yako, kila ulipopitia pamejaa fanaka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wautunukia mwaka wote mema yako, kila ulipopitia pamejaa fanaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Umeuvika mwaka taji la baraka, magari yako yanafurika kwa wingi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Umeuvika mwaka taji ya baraka, magari yako yanafurika kwa wingi.

Tazama sura Nakili




Zaburi 65:11
17 Marejeleo ya Msalaba  

Ambayo mawingu yainyesha Na kudondoza juu ya wanadamu kwa wingi.


Yeye atoaye mvua inyeshe juu ya nchi, Na kuyapeleka maji mashambani;


Aukomboa uhai wako kutoka kwa kaburi, Akutia taji la fadhili na rehema,


Huinywesha milima toka juu angani; Nchi umeitosheleza kwa mazao ya kazi zako.


Na kuziweka nguzo za ghorofa zake majini. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, Na kwenda juu ya mabawa ya upepo,


Njia zote za BWANA ni fadhili na kweli, Kwao walishikao agano lake na shuhuda zake.


Watashibishwa kwa unono wa nyumba yako, Nawe utawanywesha kutoka mto wa furaha zako.


Kwa maana Wewe utambariki mwenye haki; BWANA, utamzungushia radhi kama ngao.


Watu wako wakafanya makao ya huko; Ee Mungu, kwa wema wako uliwaruzuku walioonewa.


Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.


Ni nani ajuaye kwamba hatarudi na kugeuka, na kutuachia baraka nyuma yake, naam, sadaka ya unga, na sadaka ya kinywaji, kwa BWANA, Mungu wenu?


Je, Mbegu ingali ghalani? Naam, huo mzabibu, wala mtini, wala mkomamanga, wala mzeituni, haikuzaa kitu; tangu siku hii ya leo nitawabariki.


Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.


Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa, na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake,


nayo ni nchi itunzwayo na BWANA, Mungu wako; macho ya BWANA Mungu wako, ya juu yake, tangu mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo