Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 64:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Lakini Mungu atawapiga kwa mshale wake, Na kuwajeruhi ghafla.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Lakini Mungu atawapiga mishale, na kuwajeruhi ghafla.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Lakini Mungu atawapiga mishale, na kuwajeruhi ghafla.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Lakini Mungu atawapiga mishale, na kuwajeruhi ghafla.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Bali Mungu atawapiga kwa mishale, nao ghafula wataangushwa.

Tazama sura Nakili




Zaburi 64:7
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akavuta upinde kwa kubahatisha, akampiga mfalme wa Israeli mahali pa kuungana mavazi yake ya chuma; kwa hiyo akamwambia mwendesha gari lake, Geuza mkono wako, unichukue kutoka katika majeshi; kwa kuwa nimejeruhiwa sana.


Kwa kuwa mishale ya huyo Mwenyezi iko ndani yangu, Na roho yangu inainywa sumu yake; Vitisho vya Mungu vimejipanga juu yangu.


Akaipiga mishale yake akawatawanya, Naam, umeme mwingi sana, akawatapanya.


Wapate kumpiga mkamilifu faraghani, Kwa ghafla humpiga bila kuogopa.


Namna gani wameangamizwa punde! Wakafutiliwa mbali kwa vitisho.


Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafla, wala hapati dawa.


Basi msiba utampata kwa ghafla; Ghafla atavunjika, bila njia ya kupona.


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.


basi, uovu huu utakuwa kwenu kama mahali palipobomoka, kuanguka patokezapo katika ukuta mrefu, ambapo kuvunjika kwake huja ghafla kwa mara moja.


Moyo huwa mdanganyifu kuliko vitu vyote, una ugonjwa wa kufisha; nani awezaye kuujua?


Wakati ule watu wawili watakuwako shambani; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa;


Nitaweka madhara juu yao chungu chungu; Nitawapiga kwa mishale yangu hata ikaishe;


Nitailevya mishale yangu kwa damu, Na upanga wangu utakula nyama; Pamoja na damu ya waliouawa na waliotekwa nyara, Katika vichwa vya wakuu wa adui.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo