Zaburi 64:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Walijifanya hodari katika jambo baya; Hushauriana juu ya kutega mitego; Wakisema, Ni nani atakayeiona? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Wanashirikiana katika nia yao mbaya; wanapatana mahali pa kuficha mitego yao. Wanafikiri: “Hakuna atakayeweza kuiona.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Wanashirikiana katika nia yao mbaya; wanapatana mahali pa kuficha mitego yao. Wanafikiri: “Hakuna atakayeweza kuiona.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Wanashirikiana katika nia yao mbaya; wanapatana mahali pa kuficha mitego yao. Wanafikiri: “Hakuna atakayeweza kuiona.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza kuhusu kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kila mmoja humtia moyo mwenzake katika mipango mibaya; huzungumza juu ya kuficha mitego yao, nao husema, “Ni nani ataiona?” Tazama sura |