Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Zaburi 64:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Waliounoa ulimi wao kama upanga, Wanaoyalenga maneno ya uchungu kama mishale,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Wananoa ndimi zao kama upanga, wanafyatua maneno ya ukatili kama mishale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Wananoa ndimi zao kama upanga, wanafyatua maneno ya ukatili kama mishale.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Wananoa ndimi zao kama upanga, wanafyatua maneno ya ukatili kama mishale.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.

Tazama sura Nakili




Zaburi 64:3
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika upote, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.


Unilinde kutoka kwa mtego walionitegea, Na kutoka kwa matanzi ya watendao maovu.


Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi; Akiielekeza mishale yake, iwe imetiwa ubutu.


Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya.


Kuna kizazi cha watu ambao meno yao ni panga; Na vigego vyao ni kama visu. Ili kuwala maskini waondolewe katika nchi, Na wahitaji katika wanadamu.


Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema BWANA.


Huupinda ulimi wao, kana kwamba ni upinde, ili kusema uongo; nao wamepata nguvu katika nchi, lakini si katika uaminifu; maana huendelea toka ubaya hata ubaya, wala hawanijui mimi, asema BWANA.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo