Zaburi 64:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC3 Waliounoa ulimi wao kama upanga, Wanaoyalenga maneno ya uchungu kama mishale, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema3 Wananoa ndimi zao kama upanga, wanafyatua maneno ya ukatili kama mishale. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND3 Wananoa ndimi zao kama upanga, wanafyatua maneno ya ukatili kama mishale. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza3 Wananoa ndimi zao kama upanga, wanafyatua maneno ya ukatili kama mishale. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu3 Wananoa ndimi zao kama panga na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha. Tazama sura |