Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Zaburi 62:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Mara moja amenena Mungu; Mara mbili nimeyasikia haya, Ya kuwa nguvu zina Mungu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Mungu ametamka mara moja, nami nimesikia tena na tena: Kwamba enzi ni mali yake Mungu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Mungu ametamka mara moja, nami nimesikia tena na tena: Kwamba enzi ni mali yake Mungu;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Mungu ametamka mara moja, nami nimesikia tena na tena: kwamba enzi ni mali yake Mungu;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Jambo moja Mungu amelisema, mambo mawili nimeyasikia: kwamba, Ee Mungu, wewe una nguvu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Jambo moja Mungu amelisema, mambo mawili nimeyasikia: kwamba, Ee Mungu, wewe una nguvu,

Tazama sura Nakili




Zaburi 62:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hezekia akawasikiliza, akawaonesha nyumba yote yenye vitu vyake vya thamani, fedha, na dhahabu, na manukato, na marhamu ya thamani, na nyumba yenye silaha zake, na vitu vyote vilivyoonekana katika hazina zake. Wala hapakuwa na kitu asichowaonesha Hezekia, katika nyumba yake, wala katika ufalme wake wote.


Ndipo akasema, Wameona nini nyumbani mwako? Hezekia akajibu, Vitu vyote vilivyomo nyumbani mwangu wameviona; hapana kitu nisichowaonesha katika hazina zangu.


Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ijapokuwa mtu hatambui.


Nimenena mara moja, nami sitajibu; Naam, nimenena mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.


Ee nguvu zangu, nitakuimbia sifa, Maana Ewe Mungu ndiwe ngome yangu, Mungu wa fadhili zangu.


Mtumainini BWANA siku zote Maana BWANA YEHOVA ni mwamba wa milele.


kwa hekima yako nyingi, na kwa biashara yako, umeongeza utajiri wako, na moyo wako umeinuka kwa sababu ya utajiri wako;


Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.


Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]


Yesu akamjibu, Wewe hungekuwa na mamlaka yoyote juu yangu, kama usingepewa kutoka juu; kwa hiyo yeye aliyenitia mikononi mwako ana dhambi iliyo kubwa zaidi.


Baada ya hayo nikasikia sauti kama sauti ya mikutano mikubwa, sauti kubwa mbinguni, ikisema, Haleluya; Wokovu na utukufu na nguvu zina Bwana Mungu wetu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo