Zaburi 61:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Ndivyo nitakavyoliimbia jina lako daima, Ili niondoe nadhiri zangu kila siku. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Hivyo nitakuimbia nyimbo za sifa, nikizitekeleza ahadi zangu kila siku. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Hivyo nitakuimbia nyimbo za sifa, nikizitekeleza ahadi zangu kila siku. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Hivyo nitakuimbia nyimbo za sifa, nikizitekeleza ahadi zangu kila siku. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku. Tazama sura |